Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu anapoenda katika mji wa kikafiri anavaa mavazi yao na havai mavazi wanayovaa watu wa mji wake. Je, mtu huyu anazingatiwa kuwa ni mwenye kujifananisha [na hao makafiri]?
Jibu: Ndio, anazingatiwa kuwa ni mwenye kujifananisha. Isipokuwa ikiwa kama ataendelea kuvaa mavazi yake anakhofia juu ya nafsi yake na mali yake. Hili likamfanya kuvaa mavazi yao ili kuepuka shari yao. Katika hali hii ameruhusiwa. Ama akiwa anavaa kwa ajili ya mapenzi na wala haogopi, bali kilichomfanya kufanya hivo ni kwa sababu ya kutaka kujifananisha nao haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
- Imechapishwa: 02/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu kwa mtu anapoenda katika mji wa kikafiri anavaa mavazi yao na havai mavazi wanayovaa watu wa mji wake. Je, mtu huyu anazingatiwa kuwa ni mwenye kujifananisha [na hao makafiri]?
Jibu: Ndio, anazingatiwa kuwa ni mwenye kujifananisha. Isipokuwa ikiwa kama ataendelea kuvaa mavazi yake anakhofia juu ya nafsi yake na mali yake. Hili likamfanya kuvaa mavazi yao ili kuepuka shari yao. Katika hali hii ameruhusiwa. Ama akiwa anavaa kwa ajili ya mapenzi na wala haogopi, bali kilichomfanya kufanya hivo ni kwa sababu ya kutaka kujifananisha nao haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2122
Imechapishwa: 02/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuvua-mavazi-aliyozowea-kuvaa-mtu-anaposafiri-miji-ya-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)