Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa kiatu kimoja? Ikiwa mtu amekaa juu ya kiti na hatembei kitendo hicho kinaingia pia ndani ya makatazo?
Jibu: Kumepokelewa makatazo ya kuvaa kiatu kimoja. Udhahiri wa hilo ni pale mtu anapotembea. Akiwa mtu amekaa ni jambo halizingatiwi.
Jambo hili sahali. Haidhuru ikiwa atakivaa wakati mfupi. Lakini hata hivyo haitakiwi kwa mtu kuvaa kiatu kimoja kwa muda mrefu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 02/03/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa kiatu kimoja? Ikiwa mtu amekaa juu ya kiti na hatembei kitendo hicho kinaingia pia ndani ya makatazo?
Jibu: Kumepokelewa makatazo ya kuvaa kiatu kimoja. Udhahiri wa hilo ni pale mtu anapotembea. Akiwa mtu amekaa ni jambo halizingatiwi.
Jambo hili sahali. Haidhuru ikiwa atakivaa wakati mfupi. Lakini hata hivyo haitakiwi kwa mtu kuvaa kiatu kimoja kwa muda mrefu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 02/03/2019
https://firqatunnajia.com/kuvaa-kiatu-kimoja-wakati-wa-kukaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)