Swali: Je, inajuzu kuuza chakula ambacho ndani yake kuna nguruwe au chembe za pombe? Ni jambo la kawaida USA kwamba waislamu wanamiliki maduka ambapo wanauza pombe, nyama ya nguruwe na sigara au watu wanafanya kazi kwenye maduka haya.
Jibu: Haijuzu kuuza yale ambayo Allaah ameharamisha kula au kutumia. Miongoni mwa vitu hivyo ni hayo yaliyotajwa katika swali.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (13/48)
- Imechapishwa: 03/10/2020
Swali: Je, inajuzu kuuza chakula ambacho ndani yake kuna nguruwe au chembe za pombe? Ni jambo la kawaida USA kwamba waislamu wanamiliki maduka ambapo wanauza pombe, nyama ya nguruwe na sigara au watu wanafanya kazi kwenye maduka haya.
Jibu: Haijuzu kuuza yale ambayo Allaah ameharamisha kula au kutumia. Miongoni mwa vitu hivyo ni hayo yaliyotajwa katika swali.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (13/48)
Imechapishwa: 03/10/2020
https://firqatunnajia.com/kuuza-viatu-vyenye-chembe-za-pombe-na-nyama-ya-nguruwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)