624- Nilimuuliza Ahmad juu ya mtu ambaye anafanyiwa chuku katika Ramadhaan. Akajibu:
“Ailipe siku hiyo.”
625- Nikamuuliza Ahmad juu ya funga ya mfanya chuku. Akajibu:
“Sipendelei ifanyike katika Ramadhaan. Ailipe siku hiyo.”
Nikamuuliza Ahmad vilevile kuhusu mwenye kufanya chuku katika Ramadhaan kama anatakiwa kuilipa siku hiyo. Akajibu:
“Ndio.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
- Imechapishwa: 23/03/2021
624- Nilimuuliza Ahmad juu ya mtu ambaye anafanyiwa chuku katika Ramadhaan. Akajibu:
“Ailipe siku hiyo.”
625- Nikamuuliza Ahmad juu ya funga ya mfanya chuku. Akajibu:
“Sipendelei ifanyike katika Ramadhaan. Ailipe siku hiyo.”
Nikamuuliza Ahmad vilevile kuhusu mwenye kufanya chuku katika Ramadhaan kama anatakiwa kuilipa siku hiyo. Akajibu:
“Ndio.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 130
Imechapishwa: 23/03/2021
https://firqatunnajia.com/kuumikwa-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)