Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia uchawi sio kwa ajili ya kuwatenganisha mke na mume lakini kwa ajili ya kuwapatanisha?
Jibu: Yote mawili ni haramu na hayajuzu. Hautumiwi si kwa ajili ya kuwaunganisha wala kuwatenganisha. Haijuzu kufanya hivo. Ni uchawi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
- Imechapishwa: 16/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia uchawi sio kwa ajili ya kuwatenganisha mke na mume lakini kwa ajili ya kuwapatanisha?
Jibu: Yote mawili ni haramu na hayajuzu. Hautumiwi si kwa ajili ya kuwaunganisha wala kuwatenganisha. Haijuzu kufanya hivo. Ni uchawi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
Imechapishwa: 16/09/2017
https://firqatunnajia.com/kutumia-uchawi-kwa-ajili-kupatanisha-wanandoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)