Swali: Kuna mwanamke ana mtoto mdogo ambaye ana miezi kumi na kwa sasa ana ujauzito mwingine. Anahisi uzito wa kutazama watoto wake na ubebaji wa mimba. Je, baada ya mimba hii mpya naweza kutumia dawa ya kuzuia mimba?
Jibu: Tunachomnasihi, amkabidhi amri yake Allaah. Na akikhofia juu ya nafsi yake maangamivu na akaambiwa na matabibu wenye fani hii huenda akafikwa na maangamivu na akafa, hapo anaweza kutumia dawa hiyo. Tunachomnasihi ni yeye amtegemee Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na amkabidhi amri yake Allaah (´Azza wa Jalla).
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3068
- Imechapishwa: 01/03/2018
Swali: Kuna mwanamke ana mtoto mdogo ambaye ana miezi kumi na kwa sasa ana ujauzito mwingine. Anahisi uzito wa kutazama watoto wake na ubebaji wa mimba. Je, baada ya mimba hii mpya naweza kutumia dawa ya kuzuia mimba?
Jibu: Tunachomnasihi, amkabidhi amri yake Allaah. Na akikhofia juu ya nafsi yake maangamivu na akaambiwa na matabibu wenye fani hii huenda akafikwa na maangamivu na akafa, hapo anaweza kutumia dawa hiyo. Tunachomnasihi ni yeye amtegemee Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na amkabidhi amri yake Allaah (´Azza wa Jalla).
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3068
Imechapishwa: 01/03/2018
https://firqatunnajia.com/kutumia-dawa-ya-kuzuia-mimba-kutokana-na-uzito-anaoupata-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)