Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kulizunguka kaburi ikiwa haamini kuwa linanufaisha na linadhuru lakini hata hivyo anakusudia kujikurubisha kwa Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala)? Je, ahukumiwe ukafiri?
Jibu: Ni kama mfano wa mwenye kuswali kwa ajili yao. Ndio ni ukafiri. Ni kama mfano wa mwenye kuswali kwa ajili yao, akawaomba, akawataka uokozi, akaitakidi kuwa ni waombezi ambapo akawa anawaomba. Na si kwamba anaamini kuwa wanaumba, wanaruzuku au wanaendesha mambo. Anawaomba ili wamuombee. Hii ndio shirki kubwa. Ama akitukufu tu kwa kuona kuwa ni jambo lililowekwa katika Shari´ah kama mfano wa Ka´bah, basi hii ni Bid´ah na ni njia inayopelekea katika shirki, jambo ambalo hutokea mara chache. Kutufu ambako hutokea mara nyingi mtu anakusudia kujikurubisha kwa yule aliyemo ndani ya kaburi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
- Imechapishwa: 21/06/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kulizunguka kaburi ikiwa haamini kuwa linanufaisha na linadhuru lakini hata hivyo anakusudia kujikurubisha kwa Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala)? Je, ahukumiwe ukafiri?
Jibu: Ni kama mfano wa mwenye kuswali kwa ajili yao. Ndio ni ukafiri. Ni kama mfano wa mwenye kuswali kwa ajili yao, akawaomba, akawataka uokozi, akaitakidi kuwa ni waombezi ambapo akawa anawaomba. Na si kwamba anaamini kuwa wanaumba, wanaruzuku au wanaendesha mambo. Anawaomba ili wamuombee. Hii ndio shirki kubwa. Ama akitukufu tu kwa kuona kuwa ni jambo lililowekwa katika Shari´ah kama mfano wa Ka´bah, basi hii ni Bid´ah na ni njia inayopelekea katika shirki, jambo ambalo hutokea mara chache. Kutufu ambako hutokea mara nyingi mtu anakusudia kujikurubisha kwa yule aliyemo ndani ya kaburi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 50
Imechapishwa: 21/06/2019
https://firqatunnajia.com/kutufu-ambako-ni-bidah-na-kufuru/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)