Swali: Ni ipi hukumu ya kuacha kuswali swalah ya ´iyd kwa makusudi?
Jibu: Wakiiacha watu wote wanapata madhambi. Wakikataa kuiswali wanatakiwa kuuawa kwa sababu ni nembo ya Kiislamu. Ama ikiwa ni baadhi ya watu tu ndio wameiacha, hakuna neno juu yao. Kwa sababu ni jambo lililopendekezwa tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 02/06/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kuacha kuswali swalah ya ´iyd kwa makusudi?
Jibu: Wakiiacha watu wote wanapata madhambi. Wakikataa kuiswali wanatakiwa kuuawa kwa sababu ni nembo ya Kiislamu. Ama ikiwa ni baadhi ya watu tu ndio wameiacha, hakuna neno juu yao. Kwa sababu ni jambo lililopendekezwa tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
Imechapishwa: 02/06/2019
https://firqatunnajia.com/kutoswali-swalah-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)