Kutosihi kwa swalah mabega wazi

Swali: Swalah ya mwanamme mabega wazi imechukizwa au ni batili?

Jibu: Batili. Hadiyth inakataza kuswali namna hiyo. Dalili hiyo inapelekea katika kubatilika:

”Asiswali mmoja wenu na hakuna juu ya mabega yake kitu.”[1]

[1] al-Bukhaariy (08/05) na Muslim (04/52).

  • Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sa-altu Abiy, uk. 132
  • Imechapishwa: 01/07/2022