Swali: Ni wajibu kwa mtu kuoga mara nyingine akitokwa na manii baada ya kuoga?
Jibu: Hapana, ikiwa sio kwa ladha. Ikiwa yamemtoka kwa ladha, ni lazima aoge mara nyingine. Ikiwa inahusiana na manii yenye kubaki kwenye dhakari na yakatoka, inatosha kuosha dhakari na kutawadha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 09/11/2016
Swali: Ni wajibu kwa mtu kuoga mara nyingine akitokwa na manii baada ya kuoga?
Jibu: Hapana, ikiwa sio kwa ladha. Ikiwa yamemtoka kwa ladha, ni lazima aoge mara nyingine. Ikiwa inahusiana na manii yenye kubaki kwenye dhakari na yakatoka, inatosha kuosha dhakari na kutawadha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 09/11/2016
https://firqatunnajia.com/kutokwa-na-manii-baada-ya-kuoga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)