Swali: Nilitawadha kwa ajili ya swalah na baada ya kutawadha kwa saa moja nikatokwa na chembechembe za maganda ya machungwa kwenye meno yangu. Sikuyajua hayo wakati nilipokuwa natawadha. Je, nirudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana neno. Wudhuu´ wako ni sahihi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 11/09/2018
Swali: Nilitawadha kwa ajili ya swalah na baada ya kutawadha kwa saa moja nikatokwa na chembechembe za maganda ya machungwa kwenye meno yangu. Sikuyajua hayo wakati nilipokuwa natawadha. Je, nirudi kutawadha upya?
Jibu: Hapana neno. Wudhuu´ wako ni sahihi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 11/09/2018
https://firqatunnajia.com/kutokwa-na-mabaki-ya-maganda-ya-chakula-kunaharibu-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)