Swali: Nilikuwa nafanya kazi jeshini na kulikuwa na vita kwa muda wa miaka saba. Matokeo yake wakawaamrisha kutofunga Ramadhaan na kwamba wale. Nini anachotakiwa kufanya hivi sasa?
Jibu: Lipa siku unazodaiwa. Siku hizo ziko katika dhimma yako. Kama adui amevamia mji na watu wakalazimika kupambana, wana ruhusa ya kula kwa sababu jambo hilo linawapa nguvu za kupambana.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 07/12/2019
Swali: Nilikuwa nafanya kazi jeshini na kulikuwa na vita kwa muda wa miaka saba. Matokeo yake wakawaamrisha kutofunga Ramadhaan na kwamba wale. Nini anachotakiwa kufanya hivi sasa?
Jibu: Lipa siku unazodaiwa. Siku hizo ziko katika dhimma yako. Kama adui amevamia mji na watu wakalazimika kupambana, wana ruhusa ya kula kwa sababu jambo hilo linawapa nguvu za kupambana.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
Imechapishwa: 07/12/2019
https://firqatunnajia.com/kutofunga-kwa-sababu-ya-vita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)