Swali: Baada ya kumaliza kuoga janaba anatokwa na matone madogo. Je, ni wajibu kwake kutawadha tena?
Jibu: Ndio. Akitokwa na kitu kupitia njia mbili, japokuwa ni kidogo, basi arudi kutawadha tena.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 04/11/2018
Swali: Baada ya kumaliza kuoga janaba anatokwa na matone madogo. Je, ni wajibu kwake kutawadha tena?
Jibu: Ndio. Akitokwa na kitu kupitia njia mbili, japokuwa ni kidogo, basi arudi kutawadha tena.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 04/11/2018
https://firqatunnajia.com/kutawadha-tena-kwa-kutokwa-na-matone-kwenye-dhakari/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)