Kutawadha, kusujudu na kuelekea Qiblah katika Biblia

10.Ikawa Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Mara tatu kwa siku akapiga magoti na kuomba, akimshukuru Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya mwanzoni.

  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Danieli 6:10
  • Imechapishwa: 05/11/2017