Kutangaza msikitini kitabu kilichopotea

Swali: Kuna ndugu mmoja wiki iliopita alichukua kitabu cha ndugu yake mwingine kimakosa. Je, kuelezea kuhusu kitabu hiki msikitini ni jambo limekatazwa au hapana?

Jibu: Ikiwa kimepotea na mmiliki akatangaza kwa kusema “yule atakayepata kitabu changu kadhaa… “ jambo hili halitakikani. Ama ikiwa anaeleza kwamba alichukua kitabu cha mwingine kimakosa hakuna neno.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
  • Imechapishwa: 24/03/2019