Swali: Mwenye kufanyia mzaha kitu katika dini ya Allaah anaamrishwa kutamka shahaadah upya kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwamrisha mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah atamke upya au inatosha kutubia tu?
Jibu: Akihukumiwa kuritadi basi ni lazima atamke shahaadah mbili. Akiwa alikanusha kitu katika mambo ya dini basi ni lazima kwako kukikiri alichokikanusha pamoja na kutamka shahaadah mbili. Ni lazima kutamka shahaadah mbili wakati wa kuingia katika Uislamu na wakati wa kutubu juu ya kuritadi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (06)
- Imechapishwa: 29/12/2018
Swali: Mwenye kufanyia mzaha kitu katika dini ya Allaah anaamrishwa kutamka shahaadah upya kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemwamrisha mwenye kuapa kwa asiyekuwa Allaah atamke upya au inatosha kutubia tu?
Jibu: Akihukumiwa kuritadi basi ni lazima atamke shahaadah mbili. Akiwa alikanusha kitu katika mambo ya dini basi ni lazima kwako kukikiri alichokikanusha pamoja na kutamka shahaadah mbili. Ni lazima kutamka shahaadah mbili wakati wa kuingia katika Uislamu na wakati wa kutubu juu ya kuritadi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam (06)
Imechapishwa: 29/12/2018
https://firqatunnajia.com/kutamka-shahaadah-baada-ya-kuritadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)