Swali: Niko katika kitengo cha kijeshi. Wakati wa Dhuhr baadhi ya wafanya kazi wanaswali warsha pamoja na kuwa msikiti uko karibu. Hoja yao ni kwamba nguo zao zina uchafu wa mafuta na mengineyo ndio maana hawataki kuchafua msikiti. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa wayasemayo ni sahihi na wana harufu mbaya na nguo zao zina uchafu, wasiendi msikitini. Waswali mkusanyiko hapo walipo. Ni wenye kupewa udhuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 24/05/2018
Swali: Niko katika kitengo cha kijeshi. Wakati wa Dhuhr baadhi ya wafanya kazi wanaswali warsha pamoja na kuwa msikiti uko karibu. Hoja yao ni kwamba nguo zao zina uchafu wa mafuta na mengineyo ndio maana hawataki kuchafua msikiti. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Ikiwa wayasemayo ni sahihi na wana harufu mbaya na nguo zao zina uchafu, wasiendi msikitini. Waswali mkusanyiko hapo walipo. Ni wenye kupewa udhuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 24/05/2018
https://firqatunnajia.com/kuswali-warsha-kwa-sababu-nguo-ni-chafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)