Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufanya maalum kusimama kisimamo cha usiku ule wa mwisho wa mwaka wa Hijrah?
Jibu: Hapana. Nyusiku zote ziko sawasawa. Haijalishi kitu ni mwishoni mwa usiku, katikati ya mwaka au ni mwanzoni mwa mwaka. Nyusiku zote ziko sawa. Usiku wa mwisho wa Hijrah hauna umaalum wowote juu ya nyusiku nyenginezo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah kufanya maalum kusimama kisimamo cha usiku ule wa mwisho wa mwaka wa Hijrah?
Jibu: Hapana. Nyusiku zote ziko sawasawa. Haijalishi kitu ni mwishoni mwa usiku, katikati ya mwaka au ni mwanzoni mwa mwaka. Nyusiku zote ziko sawa. Usiku wa mwisho wa Hijrah hauna umaalum wowote juu ya nyusiku nyenginezo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-usiku-wa-mwisho-wa-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)