Swali: Baadhi ya maimamu huanza kuswali Tarawiyh kabla ya kutangazwa kuandama kwa mwezi. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Tarawiyh imesuniwa katika Ramadhaan. Haitakikani kwa yeyote kuiswali mpaka mahakama itangaze kuonekana kwa mwezi mwandamo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/26)
- Imechapishwa: 08/05/2020
Swali: Baadhi ya maimamu huanza kuswali Tarawiyh kabla ya kutangazwa kuandama kwa mwezi. Ni ipi hukumu ya kitendo hichi?
Jibu: Ni jambo lisilotakikana. Tarawiyh imesuniwa katika Ramadhaan. Haitakikani kwa yeyote kuiswali mpaka mahakama itangaze kuonekana kwa mwezi mwandamo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (30/26)
Imechapishwa: 08/05/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-tarawiyh-kabla-ya-kutangazwa-kwa-mwezi-mwandamo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)