Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali Raatibah ya al-Fajr daima baada ya Swalah?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Hili linakuwa kwa yule iliyempita pasina khiyari yake. Kwa mfano hakuamka isipokuwa baada ya kukimiwa Swalah, huyu ataiswali baada ya Swalah. Ama mtu kukusudia hili, haijuzu. Kwa kuwa huu ni wakati wa makatazo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kuswali Raatibah ya al-Fajr daima baada ya Swalah?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Hili linakuwa kwa yule iliyempita pasina khiyari yake. Kwa mfano hakuamka isipokuwa baada ya kukimiwa Swalah, huyu ataiswali baada ya Swalah. Ama mtu kukusudia hili, haijuzu. Kwa kuwa huu ni wakati wa makatazo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-8-5.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuswali-raatibah-ya-fajr-kila-siku-baada-ya-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)