Swali: Khatwiyb wa ijumaa katika mji wetu akiwa ni Asha´ariy ambaye anapinga sifa za Allaah juu ya mimbari. Je, tuache kuswali swalah ya ijumaa ikiwa hakuna msikiti mwingine zaidi ya huo?
Jibu: Tengeni mahala ambapo mnaweza kuwa mnaswali swalah ya ijumaa nyinyi na ndugu zenu. Msiswali nyuma yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
- Imechapishwa: 12/09/2020
Swali: Khatwiyb wa ijumaa katika mji wetu akiwa ni Asha´ariy ambaye anapinga sifa za Allaah juu ya mimbari. Je, tuache kuswali swalah ya ijumaa ikiwa hakuna msikiti mwingine zaidi ya huo?
Jibu: Tengeni mahala ambapo mnaweza kuwa mnaswali swalah ya ijumaa nyinyi na ndugu zenu. Msiswali nyuma yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (107) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoulahfan-22-06-1441.mp3
Imechapishwa: 12/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-imamu-anayepinga-sifa-za-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)