Swali: Katika mji wangu watu wengi wanaamini kuwa Allaah yuko kila mahali na maimamu wa misikiti huku wako katika hali hiyo. Je, niswali peke yangu, niswali nao au niswali nao ijumaa tu?
Jibu: Ukijua kuwa imamu anaamini ´Aqiydah hii, usiswali nyuma yake. Ama ikiwa hujui, msingi kwa muislamu ni kuwa kheri na uadilifu. Hili linahusiana na pale ambapo hujui.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (78) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_3_1_1433.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Katika mji wangu watu wengi wanaamini kuwa Allaah yuko kila mahali na maimamu wa misikiti huku wako katika hali hiyo. Je, niswali peke yangu, niswali nao au niswali nao ijumaa tu?
Jibu: Ukijua kuwa imamu anaamini ´Aqiydah hii, usiswali nyuma yake. Ama ikiwa hujui, msingi kwa muislamu ni kuwa kheri na uadilifu. Hili linahusiana na pale ambapo hujui.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (78) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/taf_3_1_1433.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-nyuma-ya-imamu-anayeamini-allaah-yuko-kila-mahali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)