Swali: Nilikuwa msafiri na nilikuwa pamoja na mke wangu na watoto. Ukaingia wakati wa swalah ya al-Fajr na njia ni yenye kutia khofu. Nikakhofia juu ya nafsi yangu na watoto wangu na hivyo sikuswali mpaka wakati ulipotoka. Je, kitendo changu hichi ni sahihi?
Jibu: Ikiwa kuteremka hakuaminiki kwa familia yako, mgeswali ndani ya gari swalah ya khofu. Mgeswali ndani ya gari na huku mko mnaenda. Swalah inaswaliwa kwa wakati wake kwa kiasi mtu atavyoweza:
فَإِنْ خِفْتُمْ فَرِجَالًا أَوْ رُكْبَانًا
“Mkikhofu hali mnakwenda au mmepanda kipando.” (02:239)
Mgeliswali ndani ya gari. Shutameni wakati wa Rukuu´ na Sujuud ilihali mmeikaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Nilikuwa msafiri na nilikuwa pamoja na mke wangu na watoto. Ukaingia wakati wa swalah ya al-Fajr na njia ni yenye kutia khofu. Nikakhofia juu ya nafsi yangu na watoto wangu na hivyo sikuswali mpaka wakati ulipotoka. Je, kitendo changu hichi ni sahihi?
Jibu: Ikiwa kuteremka hakuaminiki kwa familia yako, mgeswali ndani ya gari swalah ya khofu. Mgeswali ndani ya gari na huku mko mnaenda. Swalah inaswaliwa kwa wakati wake kwa kiasi mtu atavyoweza:
فَإِنْ خِفْتُمْ فَرِجَالًا أَوْ رُكْبَانًا
“Mkikhofu hali mnakwenda au mmepanda kipando.” (02:239)
Mgeliswali ndani ya gari. Shutameni wakati wa Rukuu´ na Sujuud ilihali mmeikaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-5-13.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuswali-ndani-ya-gari-inapokhofiwa-kushuka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)