Swali: Inajuzu kwa mtu kuswali na wudhuu´ aliyotawadha ambao hakunuia kwao swalah?
Jibu: Mtu akitawadha pasi na nia ya swalah, bali ametawadha kwa ajili ya kuondosha hadathi peke yake inafaa kwake kuswali swalah za faradhi na za sunnah anazotaka mpaka wudhuu´ utapomchenguka.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/148)
- Imechapishwa: 01/07/2017
Swali: Inajuzu kwa mtu kuswali na wudhuu´ aliyotawadha ambao hakunuia kwao swalah?
Jibu: Mtu akitawadha pasi na nia ya swalah, bali ametawadha kwa ajili ya kuondosha hadathi peke yake inafaa kwake kuswali swalah za faradhi na za sunnah anazotaka mpaka wudhuu´ utapomchenguka.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/148)
Imechapishwa: 01/07/2017
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-wudhuu-ambao-mtu-hakunuia-kuswali-nao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)