Swali: Nguo za vijana hupatwa na damu baada ya kutoka mawindoni na wanataka kwenda kuswali katika hali hiyo. Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya nguo hizi?
Jibu: Ni lazima kuziosha ikiwa damu ni nyingi. Kwa sababu damu ni najisi na khaswakhaswa ile damu yenye kuchirizika.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Nguo za vijana hupatwa na damu baada ya kutoka mawindoni na wanataka kwenda kuswali katika hali hiyo. Ni ipi hukumu ya kuswali ndani ya nguo hizi?
Jibu: Ni lazima kuziosha ikiwa damu ni nyingi. Kwa sababu damu ni najisi na khaswakhaswa ile damu yenye kuchirizika.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-na-nguo-yenye-damu-nyingi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)