Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali mahala ambapo kumetundikwa picha kwenye ukuta?
Jibu: Haijuzu. Haisihi kuswali mahala ambapo kumetundikwa picha na mswalaji akawa ameielekea. Hili linafanana na ´ibaadah ya masanamu. Ama ikiwa haielekei, swalah ni sahihi na wakati huohuo madhambi bado yanabaki pale pale kwa kutundika picha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
- Imechapishwa: 20/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali mahala ambapo kumetundikwa picha kwenye ukuta?
Jibu: Haijuzu. Haisihi kuswali mahala ambapo kumetundikwa picha na mswalaji akawa ameielekea. Hili linafanana na ´ibaadah ya masanamu. Ama ikiwa haielekei, swalah ni sahihi na wakati huohuo madhambi bado yanabaki pale pale kwa kutundika picha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (39) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-2-10.mp3
Imechapishwa: 20/08/2020
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwa-kuelekea-picha-iliyotundikwa-ukutani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)