Swali: Ni ipi hukumu ya kupanga safu kati ya nguzo?
Jibu: Kupanga safu kati ya nguzo imechukizwa isipokuwa ikuwa kuna haja au dharurah. Kama nafasi msikitini ni finyu kwa sababu ya waswaliji, hakuna neno kuswali kati ya nguzo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
- Imechapishwa: 28/01/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kupanga safu kati ya nguzo?
Jibu: Kupanga safu kati ya nguzo imechukizwa isipokuwa ikuwa kuna haja au dharurah. Kama nafasi msikitini ni finyu kwa sababu ya waswaliji, hakuna neno kuswali kati ya nguzo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3
Imechapishwa: 28/01/2018
https://firqatunnajia.com/kuswali-kati-ya-nguzo-imechukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)