Swali: Je, inafaa kuswali sehemu ambayo anaasiwa Allaah kama vile kuswali kanisani au hekalu za Raafidhwah?
Jibu: Haifai kuswaliaemo isipokuwa zikiondoshwa zile alama za shirki kama mfano wa al-Laat ambaye alikuwa katika msikiti wa Twaaif. Lilipoondoshwa Allaah akafanya sehemu hiyo msikiti unaoswaliwa ndani yake. Lakini mtu akilazimika kuswali ndani yake na sehemu hiyo ikawa safi hakuna neno. Katika hali hiyo aswali peke yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 08/04/2018
Swali: Je, inafaa kuswali sehemu ambayo anaasiwa Allaah kama vile kuswali kanisani au hekalu za Raafidhwah?
Jibu: Haifai kuswaliaemo isipokuwa zikiondoshwa zile alama za shirki kama mfano wa al-Laat ambaye alikuwa katika msikiti wa Twaaif. Lilipoondoshwa Allaah akafanya sehemu hiyo msikiti unaoswaliwa ndani yake. Lakini mtu akilazimika kuswali ndani yake na sehemu hiyo ikawa safi hakuna neno. Katika hali hiyo aswali peke yake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 08/04/2018
https://firqatunnajia.com/kuswali-kanisani-au-kwenye-hekalu-za-raafidhwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)