Swali: Kuswali nyumbani juu ya mkeka/msala kunazingatiwa ni Bid´ah?
Jibu: Hakuhesabiki ni Bid´ah. Imepokelewa kutoka kwa Imaam Maalik ya kwamba amekataza kuswali juu ya mkeka/msala na kwamba amemuadhibu yule mwenye kufanya hivo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
- Imechapishwa: 01/02/2019
Swali: Kuswali nyumbani juu ya mkeka/msala kunazingatiwa ni Bid´ah?
Jibu: Hakuhesabiki ni Bid´ah. Imepokelewa kutoka kwa Imaam Maalik ya kwamba amekataza kuswali juu ya mkeka/msala na kwamba amemuadhibu yule mwenye kufanya hivo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
Imechapishwa: 01/02/2019
https://firqatunnajia.com/kuswali-juu-ya-mkeka-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)