Swali: Kuswali nyumbani juu ya mkeka/msala kunazingatiwa ni Bid´ah?

Jibu: Hakuhesabiki ni Bid´ah. Imepokelewa kutoka kwa Imaam Maalik ya kwamba amekataza kuswali juu ya mkeka/msala na kwamba amemuadhibu yule mwenye kufanya hivo.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (08) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191309#219638
  • Imechapishwa: 01/02/2019