Swali: Kusujudia sanamu ni katika mambo ambayo hayako wazi?
Jibu: Sisi tunaangalia dhahiri; mwenye kusujudia sanamu ni mshirikina na anataamiliwa matangamano ya washirikina. Hatuulizi nini alichonuia. Haya yametoka wapi? Tunasema yule mwenye kumsujudia asiyekuwa Allaah, sawa iwe ni sanamu au mwengine, ni mshirikina na anataamiliwa kama washirikina.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid%207%20-%20… Toleo la: 22.05.2015
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kusujudia sanamu ni katika mambo ambayo hayako wazi?
Jibu: Sisi tunaangalia dhahiri; mwenye kusujudia sanamu ni mshirikina na anataamiliwa matangamano ya washirikina. Hatuulizi nini alichonuia. Haya yametoka wapi? Tunasema yule mwenye kumsujudia asiyekuwa Allaah, sawa iwe ni sanamu au mwengine, ni mshirikina na anataamiliwa kama washirikina.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (24) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid%207%20-%20… Toleo la: 22.05.2015
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/kusujudia-sanamu-ni-katika-mambo-ya-utata/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)