Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma ndani ya msahafu hali ya kuegemea?
Jibu: Hapana neno. Inafaa akasoma kwa kusimama na kwa kukaa akifunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana, ambavyo ni kati ya kitovu na magoti.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24276/حكم-القراءة-في-المصحف-مستلقيا
- Imechapishwa: 17/10/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma ndani ya msahafu hali ya kuegemea?
Jibu: Hapana neno. Inafaa akasoma kwa kusimama na kwa kukaa akifunika vile viungo visivyotakiwa kuonekana, ambavyo ni kati ya kitovu na magoti.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24276/حكم-القراءة-في-المصحف-مستلقيا
Imechapishwa: 17/10/2021
https://firqatunnajia.com/kusoma-qur-aan-kwa-kuegemea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)