Swali: Kusoma du´aa ya Qunuut kwa utaratibu na kwa utungo (ترتيل) ndani ya swalah ni Bid´ah na haijuzu?
Jibu: Unakusudia nini kwa kusema kusoma kwa utaratibu na kwa utungo? Kama unakusudia kusoma du´aa kwa sauti nzuri ni sawa. Inazidi kumfanya mtu kuwa na unyenyekevu. Kusoma kwa sauti nzuri ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 07/02/2017
Swali: Kusoma du´aa ya Qunuut kwa utaratibu na kwa utungo (ترتيل) ndani ya swalah ni Bid´ah na haijuzu?
Jibu: Unakusudia nini kwa kusema kusoma kwa utaratibu na kwa utungo? Kama unakusudia kusoma du´aa kwa sauti nzuri ni sawa. Inazidi kumfanya mtu kuwa na unyenyekevu. Kusoma kwa sauti nzuri ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 07/02/2017
https://firqatunnajia.com/kusoma-qunuut-kwa-sauti-nzuri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)