Swali: Ni yepi maoni yako kusoma kwa sauti ya juu kumefupilizika misikitini au kunaenea kwenginepo?
Jibu: Hukumu ni maalum misikitini peke yake. Wakiwa mahali pengine kama vile masomo, nyumbani au kikao cha umma, basi mwalimu au mtu mwengine awaelekeze ili wasishawishane.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/312)
- Imechapishwa: 05/11/2021
Swali: Ni yepi maoni yako kusoma kwa sauti ya juu kumefupilizika misikitini au kunaenea kwenginepo?
Jibu: Hukumu ni maalum misikitini peke yake. Wakiwa mahali pengine kama vile masomo, nyumbani au kikao cha umma, basi mwalimu au mtu mwengine awaelekeze ili wasishawishane.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/312)
Imechapishwa: 05/11/2021
https://firqatunnajia.com/kusoma-kwa-sauti-ya-juu-ni-msikitini-peke-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)