Swali: Mimi ni msichana ambaye nimetakharuji katika chuo kikuu na nimesomea lugha ya kingereza. Unaonaje kuna ubaya nikiendelea na masomo ya juu?
Jibu: Mimi naona lau angelisomea elimu za Kishari´ah basi ingelikuwa bora zaidi kwake. Kwa sababu mimi nachelea kama amesomea lugha ya kingereza akachukua vitabu vya kingereza akapokea kutoka kwa makafiri na hatimaye akapotea kwavyo. Kama hivi sasa anaweza kuyafanya masomo yake yakawa ya Shari´ah katika chuo kikuu cha al-Imaam au katika vyuo vikuu vyengine, basi hili ni bora zaidi kwake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (56) http://binothaimeen.net/content/1281
- Imechapishwa: 09/10/2019
Swali: Mimi ni msichana ambaye nimetakharuji katika chuo kikuu na nimesomea lugha ya kingereza. Unaonaje kuna ubaya nikiendelea na masomo ya juu?
Jibu: Mimi naona lau angelisomea elimu za Kishari´ah basi ingelikuwa bora zaidi kwake. Kwa sababu mimi nachelea kama amesomea lugha ya kingereza akachukua vitabu vya kingereza akapokea kutoka kwa makafiri na hatimaye akapotea kwavyo. Kama hivi sasa anaweza kuyafanya masomo yake yakawa ya Shari´ah katika chuo kikuu cha al-Imaam au katika vyuo vikuu vyengine, basi hili ni bora zaidi kwake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (56) http://binothaimeen.net/content/1281
Imechapishwa: 09/10/2019
https://firqatunnajia.com/kusoma-dini-ni-bora-zaidi-kwako-kuliko-kingereza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)