Swali: Imewekwa katika Shari´ah kusoma Suurah “al-Kahf” jioni ya alkhamisi?

Jibu: Ndio. Japo Hadiyth zina udhaifu, lakini zinapeana nguvu. Kwa hivyo inaweza kusomwa jioni ya alkhamisi na pia siku ya ijumaa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/de
  • Imechapishwa: 30/09/2017