Swali: Nikiwa katika safu ya pili na nikaona upenyo katika safu ya kwanza inafaa kwangu kutembea kwenda kuuziba?
Jibu: Ndio, inafaa ikiwa wale walioko mbele yako hakuna yeyote aliyeziba upenyo huo. Lakini ikiwa kati yako wewe na upenyo huo kuna safu na huwezi kufanya hivo mpaka uanze kwanza kujipenyeza katikati ya watu basi usifanye hivo. Lakini nenda ukazibe ikiwa ni mbele yako.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 23/03/2019
Swali: Nikiwa katika safu ya pili na nikaona upenyo katika safu ya kwanza inafaa kwangu kutembea kwenda kuuziba?
Jibu: Ndio, inafaa ikiwa wale walioko mbele yako hakuna yeyote aliyeziba upenyo huo. Lakini ikiwa kati yako wewe na upenyo huo kuna safu na huwezi kufanya hivo mpaka uanze kwanza kujipenyeza katikati ya watu basi usifanye hivo. Lakini nenda ukazibe ikiwa ni mbele yako.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
Imechapishwa: 23/03/2019
https://firqatunnajia.com/kusogelea-safu-ya-mbele-kuziba-upenyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)