Swali: Ni ipi hukumu ya kusimama kuswali usiku wa kuamkia ijumaa kutokana na nafasi yake kubwa? Ni yepi yaliyothibiti katika hayo?
Jibu: Hakukupokelewa kitu juu ya kuufanya maalum usiku wa kuamkia ijumaa kwa kusimama kuswali usiku tofauti na nyusiku zengine. Hakukusihi dalili yoyote juu ya hilo. Haijuzu kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 02/12/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kusimama kuswali usiku wa kuamkia ijumaa kutokana na nafasi yake kubwa? Ni yepi yaliyothibiti katika hayo?
Jibu: Hakukupokelewa kitu juu ya kuufanya maalum usiku wa kuamkia ijumaa kwa kusimama kuswali usiku tofauti na nyusiku zengine. Hakukusihi dalili yoyote juu ya hilo. Haijuzu kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 02/12/2017
https://firqatunnajia.com/kusimama-usiku-wa-kuamkia-ijumaa-na-kuswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)