Swali: Mwanamke ameleta Takbiyrat-ul-Ihraam, akaenda Rukuu´ na kuswali ile Rak´ah ya kwanza. Halafu hakuweza kusimama katika ile Raka´h ya pili. Kuanzia hapo akakamilisha swalah yake hali ya kukaa kwa sababu ni mgonjwa. Je, swalah yake katika hali hii ni sahihi?
Jibu: Ndio, swalah yake ni sahihi. Asimame pale atapoweza kusimama na akae akishindwa kusimama. Hayo yanaweza kutendeka katika swalah moja. Hakuna neno:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Mwanamke ameleta Takbiyrat-ul-Ihraam, akaenda Rukuu´ na kuswali ile Rak´ah ya kwanza. Halafu hakuweza kusimama katika ile Raka´h ya pili. Kuanzia hapo akakamilisha swalah yake hali ya kukaa kwa sababu ni mgonjwa. Je, swalah yake katika hali hii ni sahihi?
Jibu: Ndio, swalah yake ni sahihi. Asimame pale atapoweza kusimama na akae akishindwa kusimama. Hayo yanaweza kutendeka katika swalah moja. Hakuna neno:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
“Mcheni Allaah muwezavyo.” (64:16)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/kusimama-sehemu-ya-swalah-na-kuketi-sehemu-yake-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)