77 – Abu Bakr ´Abdullaah bin Sulaymaan bin al-Ash´ath ametuhadithia: Hisham bin Khaalid ametuhadithia: Abu Khulayd ´Utbah bin Hammaad al-Qaariy ametuhadithia, kutoka kwa al-Awzaa´iy, kutoka kwa Mak-huul pamoja Ibn Thawbân, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Mak-huul, kutoka kwa Maalik bin Yukhaamir as-Saksakiy, kutoka kwa Mu´aadh bin Jabal, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake na akawasamehe viumbe Wake wote isipokuwa mshirikina au ambaye moyoni mwake mna chuki.”[1]
[1] as-Sunnah (512) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh na wapokezi wake ni waaminifu. Hata hivyo cheni ya wapokezi wake ni yenye kukatika kati ya Mak-huul na Maalik bin Yukhaamir. La sivyo ingelikuwa nzuri. Lakini Hadiyth ni Swahiyh kutokana na mapokezi mengine yanayoitilia nguvu. Hadiyth imekaguliwa katika “as-Swahiyhah”(1144).”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
- Imechapishwa: 02/05/2020
- taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
77 – Abu Bakr ´Abdullaah bin Sulaymaan bin al-Ash´ath ametuhadithia: Hisham bin Khaalid ametuhadithia: Abu Khulayd ´Utbah bin Hammaad al-Qaariy ametuhadithia, kutoka kwa al-Awzaa´iy, kutoka kwa Mak-huul pamoja Ibn Thawbân, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Mak-huul, kutoka kwa Maalik bin Yukhaamir as-Saksakiy, kutoka kwa Mu´aadh bin Jabal, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Usiku wa nusu Sha´baan Allaah (´Azza wa Jall) huwatazama waja Wake na akawasamehe viumbe Wake wote isipokuwa mshirikina au ambaye moyoni mwake mna chuki.”[1]
[1] as-Sunnah (512) ya Ibn Abiy ´Aaswim. Shaykh al-Albaaniy amesema:
“Hadiyth ni Swahiyh na wapokezi wake ni waaminifu. Hata hivyo cheni ya wapokezi wake ni yenye kukatika kati ya Mak-huul na Maalik bin Yukhaamir. La sivyo ingelikuwa nzuri. Lakini Hadiyth ni Swahiyh kutokana na mapokezi mengine yanayoitilia nguvu. Hadiyth imekaguliwa katika “as-Swahiyhah”(1144).”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 166
Imechapishwa: 02/05/2020
taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-muaadh-bin-jabal/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)