94 – Ahmad bin Muhammad bin Ziyaad al-Qattwaan ametuhadithia: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nimemsikia Sulaymaan bin ar-Rabiy´ al-Jiyziy akisema: Abul-Aswad ametuhadithia: Ibn Lahiy´ah ametuhadithia, kutoka kwa az-Zubayr bin Sulaym, kutoka kwa adh-Dhwahhaak bin ´Abdir-Rahmaan, kutoka kwa baba yake: Nimemsikia Abu Muusa al-Ash´ariy akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Mola wetu hushuka katika mbingu ya chini ya dunia usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe watu wa ardhini isipokuwa mshirikina au ambaye moyoni mwake mna chuki.”[1]
[1] Ibn Abiy ´Aaswim (510). al-Albaaniy akasema:
”Hadiyth ni Swahiyh” (Dhwilaal-ul-Jannah (510))
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 173
- Imechapishwa: 13/01/2021
94 – Ahmad bin Muhammad bin Ziyaad al-Qattwaan ametuhadithia: al-Hasan bin ´Aliy bin Shabiyb ametuhadithia: Nimemsikia Sulaymaan bin ar-Rabiy´ al-Jiyziy akisema: Abul-Aswad ametuhadithia: Ibn Lahiy´ah ametuhadithia, kutoka kwa az-Zubayr bin Sulaym, kutoka kwa adh-Dhwahhaak bin ´Abdir-Rahmaan, kutoka kwa baba yake: Nimemsikia Abu Muusa al-Ash´ariy akisema: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Mola wetu hushuka katika mbingu ya chini ya dunia usiku wa nusu Sha´baan ambapo akawasamehe watu wa ardhini isipokuwa mshirikina au ambaye moyoni mwake mna chuki.”[1]
[1] Ibn Abiy ´Aaswim (510). al-Albaaniy akasema:
”Hadiyth ni Swahiyh” (Dhwilaal-ul-Jannah (510))
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 173
Imechapishwa: 13/01/2021
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-usiku-wa-nusu-ya-shabaan-kupitia-upokezi-wa-abu-muusa-al-ashariy/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)