74 – Abul-Hasan ´Aliy bin Muhammad bin Ahmad al-Miswriy ametuhadithia: Maalik bin Yahyaa bin Maalik as-Suudisiy ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: ´Uthmaan al-Battwiy ametuhadithia, kutoka kwa ´Abdul-Hamiyd, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa baba yake: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Allaah (´Azza wa Jall) katika ile theluthi ya usiku anashuka katika mbingu ya chini na anakunjua mkono Wake mpaka kuingie alfajiri: “Je, kuna mwenye kuomba aniombaye nimuitikie? Je, kuna mtubiaji anayetubu nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”Inapoingia alfajiri hupanda.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu kwa sababu ya kutokujulikana kwa baadhi ya wapokezi.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 151-152
- Imechapishwa: 30/04/2020
- taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
74 – Abul-Hasan ´Aliy bin Muhammad bin Ahmad al-Miswriy ametuhadithia: Maalik bin Yahyaa bin Maalik as-Suudisiy ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: ´Uthmaan al-Battwiy ametuhadithia, kutoka kwa ´Abdul-Hamiyd, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa baba yake: Nimemsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema:
“Allaah (´Azza wa Jall) katika ile theluthi ya usiku anashuka katika mbingu ya chini na anakunjua mkono Wake mpaka kuingie alfajiri: “Je, kuna mwenye kuomba aniombaye nimuitikie? Je, kuna mtubiaji anayetubu nimsamehe? Je, kuna mwenye kuomba msamaha nimsamehe?”Inapoingia alfajiri hupanda.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi ni dhaifu kwa sababu ya kutokujulikana kwa baadhi ya wapokezi.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 151-152
Imechapishwa: 30/04/2020
taaliki: ´Allaamah ´Aliy bin Naaswir al-Faqiyhiy
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-salamah-babu-yake-na-abdul-hamiyd-bin-yaziyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)