71 – ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib ametuhadithia: Muusa bin Ismaa´iyl ametuhadithia …:
Pia Abu Sahl Ahmad bin ´Abdillaah bin Ziyaad ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib ametuhadithia: Muusa bin Ismaa´iyl Abu Salamah ametuhadithia: Abaan bin Yaziyd ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Kathiyr ametuhadithia: Hilaal bin Abiy Maymuunah amemweleza kwamba ´Atwaa’ bin Yasaar amemsimulia kuwa Rifaa´ah bin ´Araabah al-Juhaniy amemweleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapopita theluthi ya usiku, au nusu ya usiku, basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya chini na anasema mpaka kunaingia alfajiri: “Simuulizi yeyote juu ya waja Wangu zaidi yangu Mwenyewe. Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba nimpe?”
Abu Bakr an-Naysaabuury ametwambia kuhusu Hadiyth iliyosimuliwa na Hishaam, al-Awzaa´iy na ´Aliy bin al-Mubaarak kwamba inasema:
“Kunapopita nusu ya usiku, au theluthi ya usiku… “
Katika Hadiyth ya Shaddaad na Abaan imesimuliwa kwa aina ifuatayo:
“Kunapopita theluthi ya usiku, au nusu ya usiku… “
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 148-149
- Imechapishwa: 29/04/2020
71 – ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib ametuhadithia: Muusa bin Ismaa´iyl ametuhadithia …:
Pia Abu Sahl Ahmad bin ´Abdillaah bin Ziyaad ametuhadithia: Muhammad bin Ghaalib ametuhadithia: Muusa bin Ismaa´iyl Abu Salamah ametuhadithia: Abaan bin Yaziyd ametuhadithia: Yahyaa bin Abiy Kathiyr ametuhadithia: Hilaal bin Abiy Maymuunah amemweleza kwamba ´Atwaa’ bin Yasaar amemsimulia kuwa Rifaa´ah bin ´Araabah al-Juhaniy amemweleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kunapopita theluthi ya usiku, au nusu ya usiku, basi hushuka Allaah (´Azza wa Jall) katika mbingu ya chini na anasema mpaka kunaingia alfajiri: “Simuulizi yeyote juu ya waja Wangu zaidi yangu Mwenyewe. Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba nimpe?”
Abu Bakr an-Naysaabuury ametwambia kuhusu Hadiyth iliyosimuliwa na Hishaam, al-Awzaa´iy na ´Aliy bin al-Mubaarak kwamba inasema:
“Kunapopita nusu ya usiku, au theluthi ya usiku… “
Katika Hadiyth ya Shaddaad na Abaan imesimuliwa kwa aina ifuatayo:
“Kunapopita theluthi ya usiku, au nusu ya usiku… “
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 148-149
Imechapishwa: 29/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-rifaaah-al-juhaniy-4/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)