66 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun, Yahyaa bin Abiy Bukayr na ´Abdus-Swamad bin an-Nu´maan ametuhadithia: Jariyr bin ´Uthmaan ametuhadithia: Sulaymaan bin ´Aamir ametuhadithia, kutoka kwa ´Aamir bin ´Abasah aliyesema:
“Nilimwendea Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) nikasema: “Ee Mtume wa Allaah, Allaah anifanye kuwa fidia kwako! Nifunze kitu ambacho sikijui na ambacho kitaninufaisha na hakitonidhuru? Ni wakati gani bora wa mtu kuwa mchaji zaidi?” Akasema: “Ee ´Amr bin ´Abasah! Hakika umeuliza jambo ambalo hakuna yeyote aliyeniuliza kabla yako. Hakika Mola hushuka katikati ya usiku na akamsamehe kila mmoja isipokuwa mshirikina tu. Na swalah ni yenye kushuhudiwa mpaka kuchomoze jua.”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 142
- Imechapishwa: 28/04/2020
66 – Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Mansuur ametuhadithia: Yaziyd bin Haaruun, Yahyaa bin Abiy Bukayr na ´Abdus-Swamad bin an-Nu´maan ametuhadithia: Jariyr bin ´Uthmaan ametuhadithia: Sulaymaan bin ´Aamir ametuhadithia, kutoka kwa ´Aamir bin ´Abasah aliyesema:
“Nilimwendea Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) nikasema: “Ee Mtume wa Allaah, Allaah anifanye kuwa fidia kwako! Nifunze kitu ambacho sikijui na ambacho kitaninufaisha na hakitonidhuru? Ni wakati gani bora wa mtu kuwa mchaji zaidi?” Akasema: “Ee ´Amr bin ´Abasah! Hakika umeuliza jambo ambalo hakuna yeyote aliyeniuliza kabla yako. Hakika Mola hushuka katikati ya usiku na akamsamehe kila mmoja isipokuwa mshirikina tu. Na swalah ni yenye kushuhudiwa mpaka kuchomoze jua.”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 142
Imechapishwa: 28/04/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-amr-bin-abasah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)