53 – Muhammad bin Nuuh an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia: Husayn bin ´Aliy ametuhadithia, kutoka kwa Fudhwayl…
Pia al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: ´Abdullaah bin Muhammad bin Shaakir ametuhadithia: Husayn (yaani Ibn ´Aliy al-Ju´fiy) ametuhadithia: Fudhwayl bin ´Iyaadhw ametuhadithia, kutoka kwa Mansuur, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr aliyeeleza:
“Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy wameshuhudia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), na mimi nashuhudia kwamba wamesema, kuwa Allaah (´Azza wa Jall) anawapa muhula mpaka kunapopita theluthi ya kwanza ya usiku ndipo hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na anasema mpaka alfajiri inaingia: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba?”[1]
[1] ash-Shariy´ah, uk. 310, ya al-Aajurriy.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 132
- Imechapishwa: 12/03/2020
53 – Muhammad bin Nuuh an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia: Husayn bin ´Aliy ametuhadithia, kutoka kwa Fudhwayl…
Pia al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: ´Abdullaah bin Muhammad bin Shaakir ametuhadithia: Husayn (yaani Ibn ´Aliy al-Ju´fiy) ametuhadithia: Fudhwayl bin ´Iyaadhw ametuhadithia, kutoka kwa Mansuur, kutoka kwa Abu Ishaaq, kutoka kwa Abu Muslim al-Agharr aliyeeleza:
“Abu Hurayrah na Abu Sa´iyd al-Khudriy wameshuhudia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), na mimi nashuhudia kwamba wamesema, kuwa Allaah (´Azza wa Jall) anawapa muhula mpaka kunapopita theluthi ya kwanza ya usiku ndipo hushuka katika mbingu ya chini ya dunia na anasema mpaka alfajiri inaingia: “Je, kuna mwenye kuomba msamaha? Je, kuna mwenye kuuliza? Je, kuna mwenye kuomba?”[1]
[1] ash-Shariy´ah, uk. 310, ya al-Aajurriy.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 132
Imechapishwa: 12/03/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-saiyd-na-abu-hurayrah-02/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)