39- al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Muhammad bin Yaziyd (ndugu yake Karkhuuyah) ametuhadithia…
Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Sa´daan bin Naswr ametuhadithia: Ishaaq al-Azraq ametuhadithia: ´Ubaydullaah ametuhadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd al-Muqriy, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Lau nisingeliona uzito juu ya Ummah wangu basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak pamoja na kila wudhuu´ na ningeliwaamrisha kuchelewesha swalah ya ´Ishaa mpaka nusu ya usiku, au theluthi ya usiku. Hakika Allaah (´Azza wa Jall) hukaribia katika mbingu ya dunia na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Je, kuna mwenye kuomba nimuitikie? Je, kuna mwenye kuomba nimpe?”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 123
- Imechapishwa: 21/01/2020
39- al-Husayn bin Ismaa´iyl ametuhadithia: Muhammad bin Yaziyd (ndugu yake Karkhuuyah) ametuhadithia…
Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Sa´daan bin Naswr ametuhadithia: Ishaaq al-Azraq ametuhadithia: ´Ubaydullaah ametuhadithia, kutoka kwa Sa´iyd bin Abiy Sa´iyd al-Muqriy, kutoka kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Lau nisingeliona uzito juu ya Ummah wangu basi ningeliwaamrisha kutumia Siwaak pamoja na kila wudhuu´ na ningeliwaamrisha kuchelewesha swalah ya ´Ishaa mpaka nusu ya usiku, au theluthi ya usiku. Hakika Allaah (´Azza wa Jall) hukaribia katika mbingu ya dunia na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Je, kuna mwenye kuomba nimuitikie? Je, kuna mwenye kuomba nimpe?”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 123
Imechapishwa: 21/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-27/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)