35- Abu Muhammad bin Swaa´id ametukhabarisha: Yuusuf ametuhadithia: Swafwaan bin Swaalih ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametuhadithia: Ibn Sam´aan ametuhadithia: az-Zuhriy amenikhabarisha, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu ushukaji wa al-Jabbaar (Jalla wa ´Azz) katika theluthi ya mwisho ya usiku. Kwa ajili hiyo Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakifadhilisha kuswali sehemu ya mwisho ya usiku kuliko mwanzoni mwake.
Swaalih bin Abiyl-Akhdhwar pia ameipokea kutoka kwa az-Zuhriy, kutoka kwa ´Atwaa’ bin Yaziyd al-Laythiy, kutoka kwa Abu ´Abdillaah al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah kufuatiliwa katika hilo.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 118-119
- Imechapishwa: 19/01/2020
35- Abu Muhammad bin Swaa´id ametukhabarisha: Yuusuf ametuhadithia: Swafwaan bin Swaalih ametuhadithia: al-Waliyd bin Muslim ametuhadithia: Ibn Sam´aan ametuhadithia: az-Zuhriy amenikhabarisha, kutoka kwa al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah, kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kuhusu ushukaji wa al-Jabbaar (Jalla wa ´Azz) katika theluthi ya mwisho ya usiku. Kwa ajili hiyo Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakifadhilisha kuswali sehemu ya mwisho ya usiku kuliko mwanzoni mwake.
Swaalih bin Abiyl-Akhdhwar pia ameipokea kutoka kwa az-Zuhriy, kutoka kwa ´Atwaa’ bin Yaziyd al-Laythiy, kutoka kwa Abu ´Abdillaah al-Agharr, kutoka kwa Abu Hurayrah kufuatiliwa katika hilo.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 118-119
Imechapishwa: 19/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-23/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)