32 – Abu Muhammad bin Swaa´id na huku nikisikiliza: Muhammad bin Khaalid bin ´Aliy al-Kalaa-iy amekuhadithieni Himsw: Bishr bin Shu´ayb bin Abiy Hamzah ametuhadithia, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa az-Zuhriy…
Pia alisomewa Ibn Swa´iyd: Muhammad bin ´Abdil-Malik bin Zanjuuyah na Muhammad bin ´Awf bin Sufyaan wamekuhadithieni…
Abu Bakr an-Naysaabuuriy pia ametuhadithia: Ahmad bin Yuusuf as-Sulamiy na Ibraahiym bin Haani’ wametuhadithia: Abul-Yamaan ametuhadithia: Shu´ayb ametukhabarisha, kutoka kwa az-Zuhriy: Abu Salamah bin ´Abdir-Rahmaan na al-Agharr Abu ´Abdillaah, Swahibah wa Abu Hurayrah, amenihadithia kwamba Abu Hurayrah amemukhabarisha kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka kila usiku pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kiniomba nimpe?”
´Ubaydullaah bin Abiy Ziyaad ar-Rasaafiy pia ameipokea kupitia kwa az-Zuhriy.
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 116
- Imechapishwa: 16/01/2020
32 – Abu Muhammad bin Swaa´id na huku nikisikiliza: Muhammad bin Khaalid bin ´Aliy al-Kalaa-iy amekuhadithieni Himsw: Bishr bin Shu´ayb bin Abiy Hamzah ametuhadithia, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa az-Zuhriy…
Pia alisomewa Ibn Swa´iyd: Muhammad bin ´Abdil-Malik bin Zanjuuyah na Muhammad bin ´Awf bin Sufyaan wamekuhadithieni…
Abu Bakr an-Naysaabuuriy pia ametuhadithia: Ahmad bin Yuusuf as-Sulamiy na Ibraahiym bin Haani’ wametuhadithia: Abul-Yamaan ametuhadithia: Shu´ayb ametukhabarisha, kutoka kwa az-Zuhriy: Abu Salamah bin ´Abdir-Rahmaan na al-Agharr Abu ´Abdillaah, Swahibah wa Abu Hurayrah, amenihadithia kwamba Abu Hurayrah amemukhabarisha kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) hushuka kila usiku pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimuitikie? Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe? Ni nani mwenye kiniomba nimpe?”
´Ubaydullaah bin Abiy Ziyaad ar-Rasaafiy pia ameipokea kupitia kwa az-Zuhriy.
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 116
Imechapishwa: 16/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-20/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)