30- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Wahb bin Yaziyd bin Khaalid ametuhadithia: ´Abdullaah bin Wahb ametuhadithia: Yuunus na Maalik wamenikhabarsha…
Au Bakr an-Naysaabuuriy pia ametuhadithia: Ahmad bin ´Abdir-Rahmaan bin Wahb ametuhadithia: Ami yangu ametuhadithia: Yuunus amenihadithia, kutoka kwa az-Zuhriy, kutoka kwa Abu Salamah na al-Agharr ambaye ameeleza kwamba wamemsikia Abu Hurayrah akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) hushuka pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimpe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitiie? Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe?”[1]
al-Layth bin Sa´d vilevile ameipokea kupitia kwa Yuunus.
[1] al-Bukhaariy (1145) na Muslim (521).
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 114
- Imechapishwa: 15/01/2020
30- Abu Bakr an-Naysaabuuriy ametuhadithia: Wahb bin Yaziyd bin Khaalid ametuhadithia: ´Abdullaah bin Wahb ametuhadithia: Yuunus na Maalik wamenikhabarsha…
Au Bakr an-Naysaabuuriy pia ametuhadithia: Ahmad bin ´Abdir-Rahmaan bin Wahb ametuhadithia: Ami yangu ametuhadithia: Yuunus amenihadithia, kutoka kwa az-Zuhriy, kutoka kwa Abu Salamah na al-Agharr ambaye ameeleza kwamba wamemsikia Abu Hurayrah akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allâhu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mola wetu (´Azza wa Jall) hushuka pindi kunapobaki theluthi ya mwisho ya usiku katika mbingu ya dunia na husema: “Ni nani mwenye kuniomba nimpe? Ni nani mwenye kuniomba nimuitiie? Ni nani mwenye kuniomba msamaha nimsamehe?”[1]
al-Layth bin Sa´d vilevile ameipokea kupitia kwa Yuunus.
[1] al-Bukhaariy (1145) na Muslim (521).
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 114
Imechapishwa: 15/01/2020
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abu-hurayrah-18/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)