8- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad al-Faqiyh ametuhadithia: Abu Umayyah at-Twartuusiy amenihadithia: Mu´aawiyah bin ´Amr ametuhadithia: Zaa-idah ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwnas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu kisha anashuka katika mbingu ya dunia, halafu anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 98-99
- Imechapishwa: 15/01/2018
8- ´Abdullaah bin Muhammad bin Ziyaad al-Faqiyh ametuhadithia: Abu Umayyah at-Twartuusiy amenihadithia: Mu´aawiyah bin ´Amr ametuhadithia: Zaa-idah ametuhadithia: Ibraahiym al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwnas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ambaye amesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu kisha anashuka katika mbingu ya dunia, halafu anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 98-99
Imechapishwa: 15/01/2018
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abdullaah-bin-masuud/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)