11- Abul-Hasan ´Aliy bin Muhammad bin Ahmad al-Muqriy ametuhadithia: Maalik bin Yahyaa Abu Ghassaan ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: Ibraahiym bin Muslim al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah bin Mas´uud ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Inapofika theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya dunia, anaikunjua mikono Yake akisema: “Hakuna mwombaji aniombae nimuitikie? Hakuna mwenye kuomba maghfirah nimghufurie? Hakuna mwenye kutubia nimsamehe?”
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 100
- Imechapishwa: 15/01/2018
11- Abul-Hasan ´Aliy bin Muhammad bin Ahmad al-Muqriy ametuhadithia: Maalik bin Yahyaa Abu Ghassaan ametuhadithia: ´Aliy bin ´Aaswim ametuhadithia: Ibraahiym bin Muslim al-Hajariy ametuhadithia, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah bin Mas´uud ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Inapofika theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki Allaah (´Azza wa Jall) hushuka katika mbingu ya dunia, anaikunjua mikono Yake akisema: “Hakuna mwombaji aniombae nimuitikie? Hakuna mwenye kuomba maghfirah nimghufurie? Hakuna mwenye kutubia nimsamehe?”
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 100
Imechapishwa: 15/01/2018
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abdullaah-bin-masuud-4/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)